Misri Yatikisa Dunia kwa Mpango wa Kumzuia Messi Kombe la Dunia
Kocha wa Misri ameidhirisha hadharani mkakati wa “treble marking” kuweka wachezaji watatu kumkaba Messi. Hii si tu mkakati wa kiufundi, bali pia ni silaha ya kisaikolojia ya kumtia shinikizo nahodha wa Argentina. Wamefanikiwa nayo dhidi ya De Bruyne wa Ubelgiji, wakiwa na wachezaji kama Mohamed Ghani na Hamdi Fathi wenye uwezo wa kuitekeleza. Hata hivyo,…