Hii hapa ratiba ya mechi zote leo NBC Premier League

NBC Premier League 2025/26 leo Juni 27, 2026 inaendelea huku mechi 8 zikitarajiwa kuchezwa kwenye viwanja tofauti. Dodoma Jiji FC vs Mbeya City FC, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Tanzania Prisons vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Sokoine Yanga SC vs TRA United, Uwanja wa KMC Complex Mashujaa FC vs KMC FC, Lake Tanganyika, Kigoma Pamba Jiji…

Read More

Hii hapa orodha ya wakali wa asissti Bongo

NBC Premier League inakwenda kufika ukingoni msimu wa 2025/26 ambapo kila timu inakwenda kuvuna kile ambacho ilipanda katika mechi za ushindani. Kuna vita ya ubingwa huku timu mbili zikipambania kutwaa ubingwa Yanga SC ni vinara wakiwa na pointi 69 wanafuatia na Simba SC wenye pointi 67. Wapo wakali kwenye pasi za mwisho ambapo kinara wao…

Read More