FT: England 4-2 Croatia, FIFA Kombe la Dunia 2026
FIFA World Cup 2026, England 4-2 Croatia, Uwanja wa Dallas mchezo wa Kundi L kwenye msako wa pointi 3 muhimu. Magoli ya England yamefungwa na Harry Kanne dakika ya 12 kwa mkwaju wa penalti, dakika ya 42, Jude Bellingham dakika ya 47 na Marcus Rashford dakika ya 85. Croatia imefunga magoli kupitia Martin Baturina dakika…