Messi Ang’ara kwa Hat-Trick, Argentina Yaichapa Algeria 3-0 Kombe la Dunia

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameandika historia nyingine usiku wa kuamkia leo baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) na kuiongoza Argentina kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Mashabiki wengi walikuwa wakisubiri kuona mchango wa Messi mwenye umri wa miaka 39 katika mashindano hayo ambayo…

Read More