PSG Yatwaa UEFA Champions League Baada ya Kuichapa Arsenal kwa Penalti
Klabu ya Paris Saint-Germain imefanikiwa kutwaa taji la pili mfululizo la UEFA Champions League baada ya kuifunga Arsenal kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 kwenye fainali iliyochezwa Budapest. Ilikuwa ni usiku wa majonzi kwa Arsenal huku beki Gabriel akiwa mhusika mkuu wa huzuni hiyo baada ya kukosa penalti ya mwisho…