Feisal namba moja chati ya ufugaji

Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC anaongoza chati kwenye ufungaji msimu wa 2025/26 ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Kiungo huyo anaongoza chati kwenye ufungaji akiwa na magoli 14 anafuatiwa na kiungo wa Yanga SC, Allen Okello mwenye magoli 11. Mshambuliaji namba moja kwenye chati ya ufungaji ni Prince Dube naye…

Read More

Mexico Yakubali Kuwa Mwenyeji wa Timu ya Iran Kombe la Dunia 2026 Kufuatia Mvutano na Marekani

Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutotaka kuipokea kutokana na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Sheinbaum amesema kuwa FIFA iliwasiliana na serikali ya Mexico kuomba msaada huo baada ya utawala wa Rais Donald Trump kueleza…

Read More