Allen Okello anakera kinomanoma

Allen Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC anakera kinomanoma kama hayupo upande wako kutokana na kujiamulia mambo kwenye mechi ngumu NBC Premier League. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Mei 22, 2026 dhidi ya Singida Black Stars alijiamulia kufunga magoli mawili wakishinda magoli 3-0. Okello alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 14 na 68…

Read More

Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, hali ni tete

Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, hali ni tete kwa wajelajela kutokana na mwendo usiofurahisha ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC Premier League. Baada ya dakika 90, Mei 22, 2026 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, magoli ya Feisal Salum dakika ya 15 na Idd Nado dakika…

Read More