JKT Tanzania yagawana alama na Fountain Gate

JKT Tanzania yagawana alama na Fountain Gate kwenye mchezo wa NBC Premier League leo Mei 21, 2026 kwa kufungana magoli 2-2. Fountain Gate ya Issa Mbulizi ilianza kupata magoli ya kuongoza mapema kipindi cha kwanza ni kazi ya Juma Abushiri dakika ya 3 na Ismail Kader dakika ya 45. Mpaka dakika 45 za mwanzo zinakamilika…

Read More