Skip to content
Monday, May 18, 2026
  • Simba vs Coastal Kupigwa Arusha, Yanga vs Azam Wapelekwa Mwanza
  • Kauli ya Salah Yamuibua Rooney, Amtaka Slot Amuache Benchi
  • Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup
  • Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Simba vs Coastal Kupigwa Arusha, Yanga vs Azam Wapelekwa Mwanza
  • Kauli ya Salah Yamuibua Rooney, Amtaka Slot Amuache Benchi
  • Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup
  • Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • May
  • 18

May 18, 2026

  • International
  • Sports

Simba vs Coastal Kupigwa Arusha, Yanga vs Azam Wapelekwa Mwanza

Saleh31 minutes ago01 mins

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi viwanja vitakavyotumika kwa michezo ya Nusu Fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup msimu wa 2025/26. Mchezo wa kwanza utawakutanisha watani wa jadi Simba SC dhidi ya Coastal Union FC ambapo utapigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha Juni 20, 2026. Kwa upande mwingine, mabingwa watetezi…

Read More
  • International
  • Sports

Kauli ya Salah Yamuibua Rooney, Amtaka Slot Amuache Benchi

Saleh1 hour ago02 mins

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amemshukia vikali mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, akimuita ‘mbinafsi’ na kueleza kuwa anapaswa kuachwa nje ya kikosi kwenye mechi ya mwisho ya msimu dhidi ya Brentford itakayochezwa Anfield. Kauli ya Rooney imekuja baada ya Salah kutoa maoni kuwa Liverpool inapaswa kurejea kuwa timu ya mashambulizi ya kasi…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.