Feisal Salum ni King of Asisti NBC Premier League
Rekodi zinazidi kuandikwa ndani ya Tanzania Premier League ambayo ni ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Wakati timu mbili zikiwa hazijapoteza ndani ya ligi, Yanga SC na Azam FC kinara kwenye kutengeneza pasi za mwisho maskani yake ipo Azam Complex kwenye mechi za nyumbani. Ni Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum huyu ni King…