Makonda Amteua Tenga Kuongoza Maandalizi ya AFCON 2027

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania, Paul Makonda, amemteua aliyekuwa nahodha wa zamani wa timu ya taifa, Leodegar Tenga, kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ndani ya Maandalizi ya Fainali za AFCON 2027. Mashindano hayo makubwa ya soka barani Afrika yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki ambazo ni Tanzania,…

Read More

Raphinha Aomba Radhi Baada ya Ishara Dhidi ya Mashabiki wa Atlético Madrid

Nyota wa FC Barcelona, Raphinha, ameomba radhi kufuatia ishara aliyofanya kuelekea mashabiki wa Atlético Madrid baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya robo fainali ya UEFA Champions League. Raphinha, ambaye hakushiriki kwenye mchezo wa marudiano kutokana na majeraha ya paja, alionekana akijibu mashabiki wa Atlético akiwa uwanjani baada ya mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More