FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC
Dakika 90 zimekamilika kwenye mchezo wa leo huku ubao ukisoma Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC, Aprili 8, 2026 kwenye NBC Premier League, Uwanja wa CCM Kirumba. Magoli ya Yanga SC yamefungwa na Mudathir Yahya dakika ya 8 na 34 huku goli la tatu likifungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 66 ya mchezo. Ni Allan…