FT: TRA United 0-0 Yanga SC
MCHEZO wa NBC Premier League umekamilika kwa wababe wawili kutoshana nguvu baada ya dakika 90. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Yaga SC wakigawana pointi mojamoja. Kiungo mkabaji wa TRA United, Mzamiru Yassin alionyeshwa kadi mbili za njano hali iliyopelekea kuonyeshwa kadi nyekudu dakika ya 85. Matokeo hayo yanafanya Yanga…