Ratiba ya NBC Premier League 2025/26 hii hapa
NBC Premier League inazidi kushika kasi huku vinara wakiwa ni Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves wao ni mabingwa watetezi. Machi 18,2026 kuna mechi mbili ambazo zinatarajiwa kuchezwa kwenye ratiba namna hii:- TRA United vs Yanga SC, saa 10:15, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Tanzania Prisons vs Singida Black Stars, saa 2:15, Uwanja…