Brentford yasawazisha dhidi ya Arsenal dakika za lala salama!
Mchezo wa Ligi Kuu England umepamba moto katika dimba la Brentford F.C. baada ya wenyeji kusawazisha bao dhidi ya Arsenal F.C. na kufanya matokeo kuwa 1-1. ⚽ 61’ – Wageni walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Noni Madueke, aliyemalizia shambulizi la haraka na kuiandikia Arsenal bao la kuongoza. ⚽ 71’ – Lakini Keane Lewis-Potter…