MKURUGENZI MKUU MERIDIANBET AELEZA MAFANIKIO YA MERIDIANBET

Katika mkutano mkubwa uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2024 jijini Orlando mkurugenzi wa Meridianbet bwana Zoran Milosevic kupitia makampuni ya GMGI alionesha namna ambavyo kampuni hiyo imeweza kua na mafanikio makubwa kwa mwaka 2024 na kujiweka kwenye mazingira mazuri Zaidi ya kupandisha thamani kwa mwaka 2025. https://x.com/meridianbet_ofc/status/1882035687014191504 Tukio hilo la hali ya juu, linalojulikana pia kama…

Read More

KOCHA YANGA AMEWAKIMBIZA VIGOGO HUKO

AMEWAVURUGA vigogo waliopo ndani ya tatu bora Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic huku timu hiyo ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza ambayo ilipata ushindi mkubwa bila kuruhusu kufungwa na ni mabao 16 Yanga ilifunga kwenye mechi nne na ilifungwa mabao mawili dhidi ya Mashujaa.

Read More

ALHAMISI YA EUROPA LEAGUE IMEFIKA

Siku ya leo ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Manchester United baada ya kupigika kwenye ligi mchezo wao uliopita, na sasa nguvu watawekeza kwenye Europa na hii leo watakuwa Old Trafford kukipiga dhidi…

Read More

MAN CITY WASHUSHA MSHAMBULIAJI TISHIO

Nyota wa kimataifa wa Misri Omar Marmoush ametambulishwa kuwa mchezaji mpya wa Manchester City kwenye msimu wa 24/25. Omar Marmoush amesaini mkataba wa miaka minne wa kujiunga na Manchester City akitokea Eintracht Frankfurt ya nchini Ujerumani. Wachezaji wapya wa Manchester City ni Victor Reis, Abdukodir Khusanov na Omar Marmoush.

Read More

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024, YAPO HAPA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Said Mohamed ametangaza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2024 na kueleza kuwa ufaulu umepanda. Dkt. Said ameeleza zaidi kuwa ufaulu umepanda kwa 3% hadi kufikia 92.3% kwa jumla ambapo watahiniwa 477, 262 wamefaulu kidato cha nne kati ya wahitimu 516, 695. MATOKEO YA…

Read More

KIUNGO WA SIMBA JEAN AHOUA BADO HAJAELEWEKA

NDANI ya kikosi cha Simba mtambo wa kutengeneza mabao ni Jean Ahoua ambaye haeleweki kutokana na kiwango chake kuwa cha kupwa na kujaa lakini ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ipo wazi kwamba Simba kwenye ligi ni namba moja katika msimamo ikiwa na pointi 40 baada ya kucheza mechi 15 ni namba…

Read More

MZIZE ANA BALAA ZITO HUKO KAWAKIMBIZA WAKALI

CLEMENT Mzize, mchezaji bora Desemba amewakimbiza wachezaji wenye rekodi kutokana na kusepa na tuzo hiyo mbele ya mastaa wenye rekodi zao ndani ya NBC. Kwenye mechi nne ambazo alicheza, Mzize alifunga mabao manne na kutoa pasi tatu za mabao akikomba dakika 288 na Yanga ilikuwa nafasi ya tatu ndani ya Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na…

Read More