UGANDA, ‘THE CRANES’ YAPATA USHINDI WAKE WA KWANZA KWENYE MICHUANO YA KUWANIA KUFUZU AFCON 2025
TIMU ya Taifa ya Uganda, ‘The Cranes’ imepata ushindi wake wa kwanza kwenye michuano ya kuwania kufuzu AFCON 2025 kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Congo katika dimba la Nelson Mandela National (Kampala). FT: Uganda 🇺🇬 2-0 🇨🇬 Congo ⚽ Kayondo 21’ ⚽ Ssemugabi 86’ The Cranes wapo kileleni mwa msimamo wa kundi K alama…