>

MERIDIANBET YAINEEMESHA MBEZI

  Kampuni ya Meridianbet imefika maeneo ya Mbezi mtaa wa Muafaka kwajili ya kuhakikisha wakazi wa eneo hilo wanapata msaada na kufurahia uwepo wa mabingwa hao wa michezo ya kubashiri. Kama ilivyo kawaida Meridianbet wamekua wakihakikisha wanarudisha kidogo walichokipata kwa jamii yao na mapema leo sehemu ambayo imefanikiwa kuguswa na msaada wa Meridian ni Mbezi…

Read More

NADO MZEE WA REKODI NDANI YA AZAM FC

MWAMBA Idd Suleiman Nado ni mzee wa rekodi ndani ya Azam FC kwenye msimu mpya wa 2024/25 ambao umeanza kwa ushindani mkubwa na timu hiyo ilipata ushindi kwenye mchezo wake wa tatu baada ya kucheza dakika 180 bila kupata pointi tatu. Ikumbukwe kwamba Nado ni mchezaji wa kwanza kupiga kona katika kikosi hicho ilikuwa Agosti…

Read More

YANGA WAPIGA HESABU ZA KIMATAIFA

NAHODHA wa Yanga, Bakari Nondo amesema kuwa makosa ambayo yalitokea kwenye mchezo uliopita ugenini licha ya kupata ushindi yamefanyiwa kazi na benchi la ufundi hivyo wataingia uwanjani wakiwa na hesabu za kupata ushindi kwenye mchezo wao wa kimataifa. Septemba 21 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itakuwa Uwanja wa New Amaan Complex kusaka ushindi…

Read More

KMC YAKIRI KUFANYA MAKOSA MENGI UWANJANI

BENCHI la ufundi la KMC limebainisha kuwa kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Mwenge baada ya dakika 90 wakapoteza pointi tatu. Ilikuwa KMC 0-4 Azam FC ambao walipata ushindi wa kwanza ndani ya ligi baada ya kucheza mechi mbili mfululizo bila kupata ushindi. Mechi…

Read More

SIMBA: HATUTAKI KUISHIA HAPA, MALENGO NI MAKUNDI KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika hawataki kuishia hatua ya pili bali malengo ni kuona kwamba wanatinga hatua ya makundi. Kazi pekee inayohitajika kwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids ni kupata ushindi kwenye mchezo ujao dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya unaotarajiwa kuchezwa…

Read More

BUKUA MAMILIONI KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEGUE LEO

Wakati ukijiuliza unapata wapi mkwanja wakati wiki imeshakua nzito ni Meridianbet wanarudisha matumaini upya, Kupitia michezo ya ligi ya mabingwa ulaya leo unaweza kushinda kitita cha kutosha. Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wapo kuhakikisha unajinyakulia maokoto ya kutosha kupitia usiku wa ulaya, Kwani wametoa Odds bomba sana katika michezo ambayo itachezwa usiku…

Read More

AZAM FC YAIPIGIA HESABU KMC

UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa upo tayari kwa mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC kutokana na maandalizi waliyofanya na wanahitaji pointi tatu muhimu. Ikumbukwe kwamba kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 Azam FC haijafungwa wala kufungwa ndani ya dakika 180 walizocheza mechi za ushindani uwanjani. Hasheem Ibwe,…

Read More