SIMBA DHIDI YA KMC KUPIGWA KESHO MWENGE

BODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imefanya maboresho ya ratiba ambapo mchezo wa Ligi Kuu namba 82 kati ya Simba Sc dhidi ya KMC Fc uliokuwa uchezwe Jumanne Novemba 5, 2024 katika dimba la KMC Complex sasa utapigwa siku ya Jumatano, Novemba 6, 2024 katika dimba hilo hilo. Aidha TPLB imefanya mabadiliko mengine ambapo mchezo namba…

Read More

SIMBA KUKIPIGA JUMATANO LIGI KUU BARA

BAADA ya kupata ushindi kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mashujaa FC katika Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma kituo kinachofuata kwa Simba ni Jumatano dhidi ya KMC. Katika mchezo huo Simba ilipata bao la jioni kupitia kwa mshambuliaji Steven Mukwala ambaye alitumia pasi ya Awesu Awesu katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa na bao lilifungwa…

Read More

YANGA KUPOTEZA IMEWAUMA KWELIKWELI

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara kumewapa maumivu kwa kuwa wamesemwa mpaka na mama. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga ilicheza mechi 8 haikupoteza ilishinda kwenye mechi zilizo ndani ya tatu bora kwa kuifunga Simba 0-1 Yanga, Singida Black Stars 0-1 Yanga. Ni Novemba…

Read More

BEKI SIMBA AFICHUA SIRI HII HAPA

MOHAMED Hussen Zimbwe Jr, beki wa kazi ndani ya kikosi cha Simba amefichua siri nzito ambayo inampa nguvu ya kudumu kwenye ubora wake uleule muda wote akiwa uwanjani katika mechi za ushindani. Ipo wazi kuwa wamepita makocha wengi ndani ya kikosi cha Simba hivi karibuni ikiwa ni Patrick Aussems ambaye kwa sasa anakinoa kikosi cha…

Read More

MERIDIANBET YAJA NA PROMOSHENI YA KIBABE SANA

Wababe wa michezo ya ubashiri Tanzania Meridianbet safari hii wameamua kuwapa kipaumbele wateja wanaotumia mtandao wa Tigo Pesa kufanya miamala yao kwenda Meridianbet na kufanya ubashiri kwa kuwaletea promosheni ya Saka Bajaji na Tigo Pesa. Promosheni hii ya Saka Bajaji na Tigopesa itaanza tarehe 01 November 2024, na itaisha Desemba 31 2024 saa 5:59 usiku…

Read More

CHEZA RICH PANDA USHINDE MKWANJA

Mchezo wa kasino ambao unaweza kukufanya ukashinda mkwanja kiurahisi kwasasa unapatikana pale Meridianbet na sio mchezo mwingine ni Rich Panda, Cheza mchezo huu uweze uibuke na kitita cha kutosha. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu, Pitia tovuti ya Meridianbet sasa…

Read More

Nyakua Mkwanja wa Haraka na Meridianbet Leo

Je unajua kwa dau lako dogo unaweza ukajishindia mamilioni ya pesa?. Beti mechi zote kuanzia kule LALIGA, EPL, LIGUE 1 na zingine kibao ujiweke kwenye nafasi ya kutusua mapene. Tukianza na ligi ya Ujerumani leo hii BUNDESLIGA mechi ni mbili pekee ambapo SC Freiburg baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo atamkaribisha FSV Mainz ambaye…

Read More

YANGA YAPOTEZA POINTI MBELE YA AZAM FC

AZAM FC, matajiri wa Dar inakuwa timu ya kwanza kukomba pointi tatu mbele ya mabingwa watetezi Yanga kwenye mchezo wa ligi msimu wa 2024/25. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, baada ya dakika 90 ubao umesoma Yanga 0-1 Azam FC bao la ushindi likifungwa na Sillah dakika ya 33. Katika mchezo wa leo Yanga…

Read More

GOLI LA MUKWALA ALIVYOWAWEKA MASHUJAA WAAAAH – VIDEO

Dakika 90 zimemalizika katika dimba la CCM Lake Tanganyika, Kigoma Mnyama akichukua alama zote tatu jioooni kabisa kupitia kichwa cha Steven Dese Mukwala. Simba Sc imekwea mpaka nafasi ya pili baada ya kufikisha pointi 22 sawa na Singida Black Stars lakini utajiri wa magoli ukiwaweka juu. FT: Mashujaa Fc 0-1 Simba Sc ⚽ 90+6’ Steven…

Read More

BREAKING: GRACE MAPUNDA (TESSA) AFARIKI DUNIA

Habari za kusikitisha zilizotufikia asubuhi hii ya Novemba 2, 2024 zinaeleza kuwa, muigizaji nguli wa Bongo Movies, Grace Mapunda almaarufu Tessa anayeng’ara kwenye Tamthiliya ya Huba amefariki dunia. GLOBAL TV imezungumza na Meneja Uzalishaji (Production Manager) wa Huba Series aitwaye Saffi ambaye amethibitisha kutokea kwa msiba huo mzito. Saffi amesema Tessa amefariki dunia alfajiri ya…

Read More

SINGIDA BLACK STARS WAJA NA JAMBO HILI

PATRICK Aussems , Kocha Mkuu wa Singida Black Stars ameweka wazi kuwa bado wapo kwenye mbio za kuwania kombe la Ligi Kuu Bara 2024/25 licha ya kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Yanga kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa New Amaan ukisoma Singida Black Stars 0-1 Yanga. Ikumbukwe kwamba kombe la ligi mabingwa watetezi ni…

Read More