KIPA CAMARA ATUMA UJUMBE HUU

MLINDA mlango namba moja wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Moussa Camara amesema kuwa bado kazi inaendelea kimataifa watapambana kufanya kweli na kupata matokeo katika mechi zijazo. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos, uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 27 2024 Camara aliokoa penati dakika…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi ambapo leo Novemba 30 kuna mechi za funga Novemba 2024 kwa wababe kuwa uwanjani kusaka ushindi. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic itakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo, mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa. Ni saa 12:30 jioni, Namungo wataikaribisha Yanga kwenye mchezo huo wa…

Read More

TAMBO ZATAWALA KWA VINARA WA LIGI SIMBA

TAMBO zimetawala kwa vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba kwa kubainisha kuwa licha ya kukutana na ushindani mkubwa kwenye mechi za hivi karibuni bado walipambana na kupata ushindi ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba kikosi cha Simba bado hakijawa kwenye ubora wa asilimia 100 kutokana na wachezaji wake wengi kuwa ni wageni huku Kocha…

Read More

FEISAL GARI LIMEWAKA HUKO

KIUNGO mshambuliaji ndani ya kikosi cha Azam FC, Feisal Salum gari limewaka huko kutokana na kasi yake ya kucheka na nyavu kuendelea kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Wakati ubao wa Uwanja wa Azam Complex, Novemba 28 2024 ukisoma Azam FC 2-1 Singida Black Stars ambayo imetoka kuachana na Patrick Aussems ambaye alikuwa kocha mkuu…

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU KWA NAMUNGO

 MCHORA ramani wa Yanga ameweka wazi kuwa wanakabiliwa na mchezo mgumu kesho na watapambana kupata pointi tatu muhimu unatarajiwa kuchezwa saa 12:30 jioni. Sead Ramovic amebainisha kuwa maandalizi yapo vizuri na wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo ambao utakuwa na ushindani mkubwa na malengo ni kuona wanapata pointi tatu muhimu. “Tuna mchezo mgumu mbele…

Read More

EUROPA LEAGUE KUKUPATIA MKWANJA LEO

Leo hii ni afe kipa afe beki lazima uondoke na ushindi ndani ya Meridianbet ambapo viwanja mbalimbali vitaenda kuwaka moto timu zikisaka kwa hali na mali ushindi. Beti sasa ujishindie pesa za maana. Manchester United watakuwa Old Trafford kucheza dhidi ya Bodoe/Glimt kutoka kule Norway ambapo timu hizi zimetofautina  pointi moja pekee. United ipo chini…

Read More

MR BLUE NI KABISA MKALI

UKIZUNGUMZIA Bongo Fleva kuna majina mengi yanapita yamefanya mapinduzi makubwa ikiwa ni pamoja na Sugu ambaye huyu ni muziki wa Hip Hop kiujumla alileta mageuzi makubwa ukiigusa ile ngoma ya Miaka 18 anasema ilikuwa ni stori ya kweli akaituma kwa jamii kupitia nyimbo. Legend Dully Sykes huyu alileta mtindo wa Mwanasesere kisha Bongo Fleva ikaanza…

Read More

TABORA UNITED WAIVUTIA KASI KMC

NYUKI wa Tabora, Tabora United wapo ndani ya jiji la Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi inayofuata ya Ligi Kuu Bara dhidi ya wakusanya mapato wa Kinondoni, KMC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex saa 10:00 jioni ambapo wababe hao wawili watakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa…

Read More

UEFA: LIVERPOOL YAWAPIGA REAL MADRIDI 2-0

Liverpool imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mabingwa watetezi, Real Madrid kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku Aston Villa wakitoshana nguvu na Juventus kwa sare tasa katika dimba la Villa Park. Liverpool 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 2-0 🇪🇸 Real Madrid 52’ Mac Allister 77’ Gakpo 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: #UCL 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Aston Villa 0-0 Juventus 🇮🇹 🇮🇹…

Read More

MAN CITY YAENDELEA KUANDAMWA NA MAUZAUZA KAMA YANGA

Mauzauza yameendelea kuiandama Manchester City baada ya kushindwa kuulinda uongozi wa 3-0 na kusawazishiwa 3-3 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku ikishindwa kupata ushindi kwenye mechi ya 6 mfululizo kwenye michuano yote. Kwenye michezo mingine Arsenal imeilaza Sporting Lisbon jumla ya magoli 5-1, wakati Barcelona ikiilaza Brest magoli…

Read More