BEKI YANGA AMEPANIA JAMBO HILI

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Ibrahim Bacca ametangaza vita yake dhidi ya kinara wa utupiaji Bongo, Suleman Mwalimu wa Fountain Gate. Mwalimu katupia jumla ya mabao sita ndani ya ligi akiwa kinara kwenye eneo hilo anafuatiwa na Edger William mwenye mabao manne naye yupo ndani ya kikosi cha Fountain Gate. Bacca ndani…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU ZA MASHUJAA

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mashujaa wanahitaji pointi tatu muhimu. Simba Novemba Mosi 2024 itakuwa ugenini Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma kusaka pointi tatu dhidi ya Mashujaa ambayo imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Fountain Gate. Fadlu amesema; “Ni mchezo muhimu…

Read More

LEONBET KUMWAGA FEDHA KWA WATAKAO BASHIRI MATOKEO KWA USAHIHI

WAKATI joto la uchaguzi mkuu wa Rais wa Marekani uliopangwa kufanyika Novemba 5, 2024 likipanda, kampuni nyota ya michezo ya kubashiri nchini, LEONBET imetangaza kuwapa fedha watakaobashiri kiusahihi matokeo ya wagombea, Donald Trump na Kamala Harris. Meneja Mkuu wa LEONBET Tanzania, Tumaini Maligana amesema kuwa wameamua kupanua wigo wa kubashiri kwa wafuatiliaji wa siasa ili…

Read More

SHINDA KITITA LEO KUPITIA RICH PANDA

Una nafasi ya kunyakua mkwanja leo kupitia mchezo wa Rich Panda ambao kwasasa umekua moja ya michezo ya Kasino inayopendwa na kutoa washindi wa mamilioni karibu kila siku, Hivo wewe mteja cheza mchezo huu leo uweze kushinda na kujiunga na timu ya mamilionea. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita…

Read More