SportsANAKUTANA NA ADHABU SIMBA MKANDAJI KIBU D Saleh2 years ago01 mins MWAMBA Kibu Dennis kiungo mshambuliaji wa Simba atakutana na adhabu kutoka kwa Simba kutokana na kitendo chake cha kuchelewa kujiunga na timu hiyo kwenye kambi kujiandaa na msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Post navigation Previous: Utajiri Upo Upande wako Leo na Expanse KasinoNext: SIMU ZITAITA SANA KWA MUDA
Bayern Munich Kuanza Maandalizi ya Msimu Mpya Dhidi ya Wehen Wiesbaden Katika Sherehe za Miaka 100 ya Klabu Saleh10 hours ago 0