RUUD VAN NISTELROOY AJIUNGA NA MASHETANI HAO WEKUNDU KAMA KOCHA MSAIDIZI CHINI
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy amejiunga na Mashetani hao Wekundu kama kocha msaidizi chini ya kocha mkuu Eric Ten Hag wote raia wa Uholanzi. Van Nistelrooy (48) amekubali nafasi ya kuwa kocha msaidizi klabuni hapo licha ya kutakiwa na vilabu kadhaa ikiwemo Burnley kama kocha mkuu wa vilabu hivyo. Van Nistelrooy…