CONFIRMED: MZAMIRU AONGEZA MIAKA MIWILI

Kiungo mkabaji wa Simba, Mzamiru Yassin amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia Msimbazi. Mkataba wa Mzamiru umemalizika mwishoni mwa msimu huu na mapendekezo ya kiufundi yamependekeza mchezaji huyo kubaki kutokana na mchango wake, hivyo uongozi wa Simba umemuongezea miaka mingine miwili ya kuendelea kusalia kikosini.

Read More

YANGA KAMBINI JULAI MOSI

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, amesema kuwa maandalizi ya msimu ujao wa 2024/25 (Pre Season) kwa kikosi cha Yanga yataanza Julai Mosi. Kupitia taarifa ya klabu hiyo imeelezwa kuwa kuhusu ni wapi kambi hiyo itawekwa na juu ya kikosi cha msimu huo kwa maana ya wachezaji wapya na walioachwa itajulikana wakati…

Read More

HOT KENO KASINO, SHINDA MAMILIONI

Kasino imejaa utajiri! Moja ya michezo inayoweza kukupa hela kubwa leo, ni mchezo wa namba unaofanya vizuri madukani na kwenye kasino ya mtandaoni, mchezo huu wa kasino unaitwa Hot Keno. Jisajili hapa ili uwe Milionea kwa dau lako dogo tu. Mchezo wa Hot Keno ni mchezo wa kasino ya mtandaoni wa Meridianbet uliotengenezwa na EGT…

Read More