SIMBA YAFUNGIA MASHABIKI
Sekretarieti ya Klabu ya Simba imewafungia kujihusisha na masuala ya klabu Wanachama Mohamed Khamisi Mohamed maarufu Dr. Mohammed na Agnes M. Daniel maarufu Aggy Simba mpaka pale kamati ya maadili itakapoamua vinginevyo. Sekretarieti imepoke malalamiko mengi ya kimaadili dhidi ya Wanafamilia hao wa klabu ya Simb ikiwemo kuitisha mikutano kinyume na taratibu na kuchochea migogoro…