Alhamisi ya Leo ni Za Hela Meridianbet

Mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania nzima Meridianbet wanaendelea kukupatia kile ambacho wewe unakitaka kwenye mechi za ligi mbalimbali zinazoendelea Duniani kote. Unakosaje sasa kukwapua mpunga wa maana?. Beti sasa na ushinde na Meridianbet. Ligi kuu ya Misri (EGYPT PREMIER LEAGUE) kutakuwa na mtanange mzito leo hiihsaa 1:00 usiku El Zamalek atamualika nyumbani kwake Future FC…

Read More

SIMBA KWENYE HESABU NDEFU

WAKIWA na mchezo dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Arusha Mei 25 2024 benchi la ufundi la timu hiyo limebainisha kuwa hesabu ni kupata matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ushindi wake mkubwa akiwa na timu hiyo ilikuwa mchezo dhidi ya Geita Gold walipopata ushindi wa mabao 4-1 baada ya dakika…

Read More

YANGA WANABALAA ZITO

YANGA vinara wa Ligi Kuu Bara wana balaa zito kutokana na kasi yao kuwa kwenye ubora kwenye mechi ambazo wanacheza msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa msimu wa 2023/24 walitwaa taji hilo baada ya kufikisha pointi 71 mchezo wao wa 27 dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu. Kwenye mchezo wa…

Read More

ORODHA YA MASTAA SIMBA AMBAO WATASEPA, MMOJA AMESHAKATWA

KUNA orodha ndefu ya mastaa wa Simba ambao watasepa katika timu mara baada ya mzunguko wa pili kugota mwisho kutokana na mikataba yao kugota mwisho wengine ni ofa mpya ambazo wanazo mezani jambo litakalofungua hesabu za wao kuondoka jumlajumla. Inatajwa kuwa mwamba Kramo jina lake limeshaondolewa mazima kwenye orodha ya wachezaji wa Simba kutokana na…

Read More