AZIZ KI KIMATAIFA BALAA TUPU/PACOME MPAKA MAXI
MIAMBA ya Yanga kwenye anga la kimataifa walipokabidhiwa jina la mchezo walifanya kweli na Yanga kupata pointi katika anga la kimataifa. Miongoni mwao ni Aziz KI, Pacome Day
MIAMBA ya Yanga kwenye anga la kimataifa walipokabidhiwa jina la mchezo walifanya kweli na Yanga kupata pointi katika anga la kimataifa. Miongoni mwao ni Aziz KI, Pacome Day
KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Mudathir Yahya amefichua siri kuhusu ushangiliaji wake kila anapofunga mabao ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi.
Mimi nakwambia kuwa anza Jumapili yako kwa kubashiri na meridianbet ambapo leo hii ligi mbalimbali zinaendelea na wewe una nafasi ya kupiga mkwanja wa maana kwa kubashiri kwa usahihi mechi zako. SERIE A, kitawaka sana leo ambapo Frosinone atakipiga dhidi ya US Lecce huku timu zote zikiwa zimetoka kupoteza mechi zao zilizopita. 2.30 kwa…
Kwa dau dogo kabisa la Tsh 100/= pale Meridianbet unaweza kushinda maokoto mengi, zawadi mbalimbali ikiwemo TV inch 55 mpyaa, Smartphone na Bonasi ya Kasino mpaka 200,000/= Beti za buure kucheza michezo ya kasino mtandaoni, na hii ni promosheni maalum ya mchezo mpya wa Kasinoya Mtandoni “Super Heli”. Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya…
MTIBWA Sugar wamesepa na point8 tatu mazima dhidi ya Singida Fountain Gate, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Singida Fountain Gate 0-2 Mtibwa Sugar. Ushindi wa Mtibwa Sugar umevuruga mipango ya Singida Fountain Gate kukomba pointi tatu kwenye mchezo huo. Abdul Hilary dakika ya 70 kwa mkwaju wa penàlti na Omary Marungu dakika ya…
Bashiri na kitochi au bashiri bila bando na Meridianbet ikifahamika kama USSD leo imefanikiwa kutoa mshindi ambaye amejishindia mzigo wa kutosha ambapo mshindi amejipigia kiasi cha shilingi 5,982,539. Inafahamika kua Meridianbet inatoa fursa kwa wateja wake kubashiri kwa bando kwa maana ya kwenye tovuti yao lakini pia unaweza kubashiri bila bando na ndio USSD ambapo…
KIUNGO Ladack Chasambi nyota wa Simba anaingia katika orodha ya nyota waliofunga kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 2 2024. Ni Saido Ntibanzokiza alifungua pazia la utupiaji dakika ya 7, Pa jobe dakika ya 14, Kibu Dennis dakika ya…
WAARABU wa Misri, Al Ahly kwenye mechi za kimataifa ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika wamewafanyia ukorofi wachezaji wawili wa Yanga ndani ya msako wa ushindi kimataifa.
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga a kimataifa Yanga wapo ndani ya ardhi ya Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya mechi zao zinazofuata kimataifa na kitaifa. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi imetinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi 8 kibindoni. Mchezo wao wa mwisho hatua ya makundi ilipoteza pointi…
Jumamosi za leo ni za kibabe sana ambapo mechi kibao zitapigwa katika ligi mbalimbali na tayari meridianbet wamekuwekea ODDS za maana na machaguo mengi. Suka mkeka wako wa nguvu uondoke na maokoto ya maana leo. Ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1, baada ya kuendelea hapo jana, leo hii pia kuna mechi zitapigwa ambapo Stade Reims…
KIPA mwenye rekodi ya kuokoa penalti kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Ayoub Lakred hatua ya makundi ndani ya kikosi cha Simba amerejea kazini baada ya adhabu yake kukata hivyo kuna uwezekano wapinzani wao Jwaneng Galaxy wakakutana naye. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca ugenini aliokoa penalti dakika…
Tunakuletea mchezo mpya wa kasino Mtandaoni unaoendelea katika Magharibi ya Kusini. Na katika mchezo huu, msako umetangazwa, lakini si kwa vichwa vilivyotekwa, bali kwa bonasi za kasino zenye kuvutia. Ni juu yako tu kujiunga kutafuta ushindi. “Most Wanted” ni mchezo wa kasino mtandaoni kutoka kwa Amigo. Katika mchezo huu, utapata bonasi kubwa. Kuna malipo ya…
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa watazidi kupambana kwa kuwa wana jambo lao kila mchezouliopo mbele yao wakihitaji kufanya vizuri. Azam FC kwenye mechi mbili mfululizo iliambulia sare ilikuwa dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons. “Tupo imara kwenye mechi ambazo tunacheza na malengo yetu ni kuona kwamba…
MASTAA wa Simba wamepewa majukumu makubwa kuhakikisha kwamba wanacheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy kama fainali
LIGI ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi FT: Al Ahly 1-0 Yanga Goal dakika ya 46 El Shahat MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa ukiwa ni wa sita kwa wawakilishi wa Tanzania Yanga wapo ugenini nchini Misri dhidi ya Al Ahly. Dakika 45 za mwanzo timu zote zimetoshana nguvu kwa kuhushudia ubao ukisoma Al Ahly 0-0…
Mwezi mpya umeanza hii leo ambao ni mwezi Machi na meridianbet wanakwambia leo hii piga pesa za maana kwani ODDS KUBWA na machaguo ya kibabae wameshakuwekea. Ufaransa, LIGUE 1 AS Monaco atamkaribisha PSG ambaye ndiye kinara wa ligi na bingwa mtetezi wa ligi hiyo akipewa upendeleo kabisa ndnai za meridianbet kushinda mechi hii akiwa na…
KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopewa jina la Vita ya Kisasi huku mgeni rasmi akiwa ni beki Henoc Inonga benchi la ufundi limebainisha kuwa linahitaji ushindi. Abdelahak Benchikha, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanachohitaji kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy, Uwanja wa Mkapa ni ushindi. Kikosi cha…