Home Sports AMEFICHUA SIRI YANGA KIUNGO WA KAZI Sports AMEFICHUA SIRI YANGA KIUNGO WA KAZI March 4, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Mudathir Yahya amefichua siri kuhusu ushangiliaji wake kila anapofunga mabao ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi.