Home Sports AMEFICHUA SIRI YANGA KIUNGO WA KAZI

AMEFICHUA SIRI YANGA KIUNGO WA KAZI

KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Mudathir Yahya amefichua siri kuhusu ushangiliaji wake kila anapofunga mabao ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi.

Previous articleKwapua Mpunga wa Jumapili na Meridianbet Leo]
Next articleAZIZ KI KIMATAIFA BALAA TUPU/PACOME MPAKA MAXI