Home Sports BALAA LA CHAMA LIPO NAMNA HII Sports BALAA LA CHAMA LIPO NAMNA HII March 14, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp CLATOUS Chama kiungo wa kikosi cha Simba ana balaa zito ndani ya uwanja kutokana na kuendeleza kasi yake kwenye mechi za Ligi Kuu Bara akiwa ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha