Home Sports ASEC MIMOSAS KUKUTANA NA BALAA LA SIMBA

ASEC MIMOSAS KUKUTANA NA BALAA LA SIMBA

WAPINZANI wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, ASEC Mimosas wanatarajiwa kukutana na balaa zito la wapinzani wao Simba ambao wameweka wazi kwamba wanahitaji ushindi kwenye mchezo huo wa hatua ya makundi unaotarajiwa kuchezwa Februari 23 nchini Ivory Coast.

Previous articleNGOMA NZITO, POLISI TANZANIA YAWAPIGA MKWARA YANGA
Next articleSIMBA WAIFUATA ASEC MIMOSAS USIKU, AYOB LAKRED, ONANA OUT