MASTAA SIMBA WAJAZWA NOTI MAPEMAAA

WACHEZAJI wa Simba washindwe wao tu sasa hivi hiyo ni baada ya kuhakikishiwa kupewa pesa ya maana katika michezo miwili ya robo fainali ya AFL dhidi ya Al Ahly. Simba Oktoba 20 wanatarajiwa kukipiga dhidi ya Al Ahly katika mchezo wa kwanza wa michuano hiyo ya AFL dhidi ya Ahly utakaofanyika katika Uwanja wa Mkapa,…

Read More

MBABE WA YANGA KUIBUKIA MTIBWA SUGAR

ZUBER Katwila, aliyekuwa kwenye benchi Uwanja wa Highland Estate ubao uliposoma Ihefu 2-1 Yanga anatajwa kuwa katikà hesabu za mabosi wake wa zamani Mtibwa Sugar. Baada ya kupewa mkono wa asante ndani ya Ihefu Oktoba 14 2023 Nyerere Day kocha huyo alikuwa anatajwa kuibukia ndani ya Singida Fountain Gate. Dili lake la kuibukia hapo lilikwama…

Read More

CHEZA MICHEZO YA KASINO MTANDAONI NA MERIDIANBET UJIPIGIE MKWANJA WA KUTOSHA

Kampuni ya Meridianbet inaumiza kichwa kila wakati kuhakikisha wateja wake wanapiga mkwanja na sasa wamekuja na promosheni ambayo itawawezesha wateja wake kupiga mkwanja wa kutosha na kampuni hiyo huku sharti likiwa kucheza michezo ya kasino mtandaoni na kampuni hiyo. Promosheni hii itahusisha mashindano na washindi ndio wataweza kujipigia mkwanja wa kutosha kupitia michezo ya Kasino…

Read More

SIMBA: WAARABU WAMEKUJA WAKATI MBAYA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao Al Ahly, Waarabu wa Misri wamekuja wakati mbaya ikiwa ni maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ufunguzi wa African Super League. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba 20 2023 ukiwa na wageni wakubwa kutoka pande zote za dunia na miongoni mwao ni pamoja na rais wa Fifa Gianni…

Read More

M BET KUWAPA ZAWADI WASHINDI WA SANYASANYA SIMU NA TV

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha ya M-Bet Tanzania imezindua kampeni mpya ijulikanayo kwa jina la Sanya Sanya na M-Bet ambayo ina mwezesha mshindi kushinda fedha taslimu, simu ya mkononi na televisheni ya kisasa (Smart TV). Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushi amesema lengo la kuanzisha  kampeni…

Read More

MAKOSA YAFANYIWE KAZI KUIMARISHA STARS

DHAMIRA kubwa kwenye mechi za kirafiki ni kutambua makosa yalipo ili kuyafanyia kazi kwenye mechi zijazo. Tumeona namna wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania walivyopambana dhidi ya Sudan. Kupata sare ya kufungana bao 1-1 ugenini sio jambo la kujutia bali ni kuangalia wapi makosa yalifanyika. Kwenye safu ya ushambuliaji ni muhimu kuongeza umakini wakati…

Read More

MITAMBO HII YA KAZI YAINGIA CHIMBO KUELEKEA MZIZIMA DABI

ZIKIWA zimebaki siku sita kabla ya Mzizima Dabi kupigwa ndani ya Uwanja wa Azam Complex, mastaa wa Azam FC ikiwa ni pamoja na Prince Dube, Ayob Lyanga, James Akamiko, Idd Suleiman, (Nado) wanapewa mbinu kuikabili Yanga. Mastaa hao wanasukwa chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo aliyetoka kukiongoza kikosi kusepa na pointi tatu ugenini dhidi ya…

Read More

AZAM FC, TIMU BORA, BIDHAA BORA

MVURUGANO wa mipango hutibua mengi yanayotarajiwa kufanyika. Kufungashiwa virago katika anga la kimataifa kuliwarudisha chini na kuanza kujipanga upya kwa wakati ujao. Matajiri wa Dar, Azam FC wanazidi kujitafuta katika kuonyesha falsafa yao ya bidhaa bora, timu bora ndani ya Ligi Kuu Bara. Hasheem Ibwe, Ofisa Habari wa Azam FC ameweka wazi kuwa hesabu kubwa…

Read More

MBINU ZA KOCHA HUYU KUANZA KUTUMIKA SINGIDA

NI Ricardo Ferreira kutoka nchini Brazil mbinu zake zitaanza kutumika ndani ya kikosi cha Singida Fountain Gate kwenye kusaka ushindi. Mkataba wake ni wa mwaka mmoja kuwanoa mastaa wa Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Meddie Kagere, Beno Kakolanya, Bruno Gomes. Yupo na msaidizi wake ambaye ni Andrew Barbosa hawa…

Read More

NIDHAMU NGUZO KUBWA KWA MAFANIKIO

KAZI ni kubwa kwa timu zote kuendelea kufanyia maboresho pale penye upungufu kupitia mechi zilizopita. Tumeona namna ligi ilivyo na ushindani hii ni kubwa na inaonyesha thamani ya ligi yetu ya ndani. Jambo la msingi ni kuona kunakuwa na mwendelezo mzuri kwa mechi zinazofuata. Ushindani ambao uliopita kwenye mechi za mwanzo kabla ya ligi kusimama…

Read More

JEMBE LILILOKUWA LINAWINDWA YANGA SAFARI KUMKUTA

INAELEZWA kuwa Francis Kazadi mshambuliaji wa Singida Fountain Gate huenda akapigwa panga katika dirisha dogo. Kazadi alikuwa anatajwa kuwa katika rada za Yanga mwisho akaibukia Singida Fountain Gate. Kwa msimu wa 2023/24 hajapata zali la kufunga kwenye mechi za ligi hivyo bado anajitafuta kuonyesha makali yake ndani ya timu hiyo. Nyota huyo alionyesha uwezo mkubwa…

Read More

KUFUZU AFCON HAITOSHI, LAZIMA TUJIONDOE NAFASI YA KIBONDE

TAYARI kikosi cha timu yetu ya taifa, Taifa Stars kimefanikiwa kufuzu kucheza michuano mikubwa zaidi Africa maarufu kama Afcon kwa 2023. Mambo yatakuwa nchini Ivory Coast na katika kundi tulilopangwa licha ya kwamba inaonekana si uzalendo kusema lakini lazima isemwe kuwa timu inayopewa nafasi ya mwisho kabisa katika kundi hilo ni Tanzania. Yes, sisi ndio…

Read More

MAMBO NI MAGUMU KWELIKWELI

PUMZI ndefu inavutwa na kushushwa taratibu mambo yanapokuwa tofauti na vile ambavyo yalipangwa kuwa. Ngumu kuwa na furaha katika nyakati ngumu ambazo hazidumu. Kwenye ulimwengu wa msako wa pointi tatu muhimu kuna timu ambazo mwanzo wa ligi mambo yamekuwa ni magumu kwelikweli kuambulia ushindi. Hapa tunakuletea baadhi ya timu zinazopambania kombe namna hii:- Coastal Union…

Read More