SIMBA WATOSHANA NGUVU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mashuhuda wakigawana pointi mojamoja na  wapinzani wao ASEC Mimosas wakiwa nyumbani. Licha ya kuanza kupachika bao la kuongoza hali haikuwa njema kwa upande wao walitunguliwa pia bao kipindi cha pili na wapinzani wao. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-1 ASEC Mimosas mchezo…

Read More

AZAM FC YAKOMBA POINTI, FEI ATUPIA

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum amefikisha mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuongeza akaunti yake ya mabao. Bao hilo alifunga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara walipocheza dhidi ya Mtibwa Sugar. Ilikuwa ni siku mbaya kazini kwa Mtibwa Sugar abaada ya kuyeyusha pointi tatu ugenini na kichapo kikubwa wakapokea. Novemba 24…

Read More

SIMBA: KIMATAIFA TUTAWAFURAHISHA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa watawafurahisha mashabiki watakaojitokeza kushuhudia mchezo wao dhidi ya ASEC Mimosas pamoja na wale watakaokuwa nyumbani. Ipo wazi kwamba Novemba 25 Simba itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.  Ally…

Read More

YANGA YAANZA KWA KUPOTEZA UGENINI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kete yao ya kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wameanza kwa kupoteza mchezo huo. Ni usiku wa kuamkia leo Novemba 25 Yanga ilitupa kete yake ya kwanza ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilikuwa…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA SIMBA

Klabu ya Simba imemtangaza ABDELHAK BENCHIKHA kuwa kocha mkuu klabuni hapo akichukua mikoba ya Robert Oliveira ‘Robertinho’ aliyeoneshwa mlango wa kutokea. Benchikha (60) raia wa Algeria aliiongoza USM Alger kuwaa kombe la Shirikisho Afrika kwa faida ya magoli ya ugenini dhidi ya Young Africans SC kwenye fainali. Benchikha pia aliiongoza USM Alger kutwaa CAF Super…

Read More

MANULA KUIKOSA ASEC MIMOSAS CHAMA HATIHATI

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao ASEC Mimosas kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba watakosa huduma ya nyota wao wawili. Kwa mujibu wa Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Daniel Cadena ameweka wazi kuwa maandalizi yapo vizuri isipokuwa kuna baadhi ya wachezaji ambao wanaweza kukosekana kwenye mchezo huo. Ni Uwanja wa Mkapa,…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA WAARABU KIMATAIFA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi wanahitaji kupata pointi tatu za Waarabu wa Algeria, CR Belouizdad licha ya kuwa ugenini. Timu hiyo inakibarua cha kuanza kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi leo Novemba 24 kisha. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 2 usiku kwa saa za Algeria huku kwa Bongo ikiwa ni…

Read More

SIMBA NA AKILI NYINGINE KIMATAIFA

DANIEL Cadena, Kaimu Kocha Mkuu wa Simba amesema akili za wachezaji zipo tofauti kabisa na michezo miwili iliyopita. Simba Novemba 25 ina kibarua çha kusaka ushindi dhidi ya ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi. Mechi mbili za ligi iliambulia pointi moja na kupoteza tano kwenye msako wa pointi…

Read More

IHEFU YAACHA POINTI TATU KWA NAMUNGO

KLABU ya Ihefu ikiwa ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo iliacha pointi tatu baada ya dakika 90 kukamilika ubao uliposoma Namungo 2-0 Ihefu. Katika mchezo huo Fikirini Bakari kipa wa Ihefu aliokoa mkwaju wa penalti dakika ya tatu Novemba 23.  Keneth Kunambi alionyeshwa kadi nyekundu ya mapema zaidi dakika ya pili…

Read More

ISHU YA PAPE SAKHO KULETA RUNGU LA FIFA SIMBA IPO HIVI

BAADA ya taarifa kueleza kuwa Shirikisho la Soka la kimataifa (FIFA) limeifungia kusajili Klabu ya Simba kutokana na madai ya Klabu ya Teungueth ya Senagal kuhusu malipo ya  mchezaji Pape Sakho uongozi wa timu hiyo umekiri kufanya makosa katika kukamilisha mchakato huo. Ikumbukwe kwamba hivi karibuni rungu la namna hiyo liliwakumba Singida Fountain Gate na…

Read More