SIMBA KWENYE KIBARUA KINGINE BONGO

BAADA ya kete ya tatu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kuwa yamoto kwao kikosi cha Simba kinarejea Bongo kuendelea na maandalizi ya mechi zinazofuata. Licha ya Ayoub Lakred kuokoa penalti kipindi cha kwanza bado Simba walikwama kusepa na ushindi kutokana na makosa waliyofanya katika kipindi cha pili. Timu hiyo baada ya kucheza mechi tatu katika…

Read More

HARMONIZE KUNUNUA MAHITAJI MUHIMU YA HANANG

MWANAMUZIKI Rajabu Abdul maarufu kwa jina la Harmonize amewaagiza wasimamizi wake Chopa na Jembe ni Jembe kutumia fedha ambazo amelipwa kwa ajili ya tamasha lililofanyika Manispaa ya Kahama, Shinyanga kutumika kwa ajili ya kununua mahitaji muhimu yatakayopelekwa kwa waathirika wa maporomoko ya matope yaliyotekea Hanang Mkoa wa Manyara. Kupitia ujumbe aliouandika kwenye ukurasa wake wa…

Read More

SIMBA WAJIONGEZEA MZIGO KIMATAIFA, WAO WENYEWE SABABU

SIMBA imepoteza pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco ukiwa ni mchezo wao wa kwanza kupoteza msimu wa 2023/24 katika anga la kimataifa. Hakuna wakumlaumu kwa kilichotokea kutokana na kushindwa kutumia nafasi walizopata pamoja na kushindwa kukaba nafasi katika dakika za lala salama. Kazi ni nzito kwa wawakilishi…

Read More