MERIDIANBET KUNA MGAO WA 800,000/= TZS UNAKUSUBIRI

Michezo kabambe ya kasino mtandaoni kutoka Expanse itakufanya kuvuna bonasi kuanzia TZS 100,000/= kwenye mgao wa TZS 800,000/= Mwezi huu wa Novemba. Ukiachana na sloti kibao ikiwemo michezo ya kasino mtandaoni rahisi kabisa kupiga pesa kama Aviator mchezo pendwa, Roulette na Poker, katika promosheni hii ya Expanse Casino 9.0 mchezaji atakayecheza michezo ifuatayo atajiweka kwenye…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI RAPHAEL DWAMENA

Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ghana, Black Stars, Raphael Dwamena amefariki dunia baada ya kuanguka uwanjani  wakati wa mechi kati ya timu yake ya Egnatia Rrogozhine ya nchini Albania dhidi ya Partizani. Mtandao wa soka wa Citi Sport umeripoti kuwa habari za kifo chake zimekuja baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28…

Read More

MAMBO MAGUMU KWA MBABE WA YANGA

MBABE wa Yanga anayekipiga ndani ya kikosi cha Azam FC, Suleiman Abdallah, (Sopu) mambo kwake ni magumu ndani ya msimu mpya wa 2023/24 kwa kukosa zali la kucheka na nyavu kama ambavyo alianza msimu uliopita. Mechi nne kapata zali la kuanza kikosi cha kwanza ndani ya Azam FC ambazo ni sawa na dakika 360 chini…

Read More

TAIFA STARS WAANZA KAZI KAMBINI

BAADA ya kuripoti kambini nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wameanza rasmi mazoezi kwa ajili ya kuwa fiti kwa mechi za ushindani. Ni Novemba 11 rasmi walianza mazoezi hayo ikiwa ni kuelekea kwenye mechi mbili ngumu na zitakazokuwa na ushindani mkubwa. Hizo ni kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la…

Read More

YANGA WABADILI HESABU, MIPANGO IPO HIVI SASA

Kocha Mkuu Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa hesabu zake kwenye anga la kimataifa kwa ajili ya mechi  za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CR Belouzdad inayonolewa na  Mbrazili Marcos Paqueta aliyechukua nafasi ya Sven Vandebroeck zimeanza sasa. Sven kwa sasa ni kocha huru ambapo anatajwa kwamba yupo kwenye hesabu za kurejea ndani ya…

Read More

MERIDIANBET CHIMBO PEKEE LA KUPIGA MKWANJA WIKIENDI HII

Ni hivi hakuna kukaa kinyonge wikiendi hii kwani ligi mbalimbali barani ulaya zimerejea na una nafasi ya kupiga mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet kupitia michezo hiyo. Kukosa maokoto ni wewe tu utakua umetaka kwani mabingwa wa michezo ya kubahatisha kampuni ya Meridianbet wamekuwekea ODDS KUBWA na bomba katika michezo inayopigwa wikiendi hii katika ligi mbalimbali barani ulaya. Pia kumbuka…

Read More

TANZANITE QUEENS TAYARI KUWAKABILI NIGERIA

WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Wasichana chini ya miaka 20, Tanzanite Queens wanaendelea na maandalizi ya mwisho. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Bakari Shime ina kibarua cha kusaka ushindi mchezo dhidi ya Nigeria. Huo ni mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex, Novemba 12. Ikumbukwe kwamba Tanzanite…

Read More

JUDE NA CR 7 MECHI ZAO 10 WALIVYOKIWASHA

Jude Bellingham amekuwa na mwanzo wa kushangaza pale  Real Madrid, lakini unajua kuna rekodi amevunja baada ya mechi 10 ukimlinganisha na  Cristiano Ronaldo? Ronaldo ndiye lejendi wa Real Madrid akiitumikia klabu hiyo na kuipa mafanikio makubwa ikiwemo rekodi ya kufunga mabao 450 aliyofunga sambamba na kushinda mataji mengi. Real Madrid hakushinda taji lolote msimu wa…

Read More

BET WINNER KUTOA SH 390,000 KWA MTEJA MPYA

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha, Bet Winner kupitia promo code ya CHAMA inakupa nafasi ya kupata bonasi hadi Shilingi 390,000 punde utakapojiunga na kuweka salio kwenye akaunti yako Hii ni kubwa kutokea ambapo kila mteja mpya anapewa shilingi 390,000 muda mfupi baada ya kujiunga.. Bet Winner ambayo kwa sasa inakimbiza kwenye soko la wanaobet mtandaoni,…

Read More

KOCHA ALIYETIMULIWA SIMBA ATAJA TATIZO LILIPO

Mchambuzi Nguli wa maswala ya soka nchini Saleh Ally Jembe amesema kuwa alipata bahati ya kuonana na aliyekuwa kocha mkuu wa Simba, Roberto Oliveira na kutaja tatizo lilipo. Ikumbukwe kwamba Oliveira alikuwa ndani ya kikosi cha Simba alipochukua mikoba ya Zoran Maki ambaye alibwaga manyanga muda mfupi baada ya kuwa na timu hiyo. Mchezo wa…

Read More

GAMOND AJA NA JAMBO HILI KUHUSU WAFUNGAJI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuwa hawapi majukumu washambuliaji pekee kufunga ndani ya kikosi hicho bali kawapa uhuru wachezaji wote kufunga. Ikumbukwe kwamba, Yanga ini namba moja kwa kufunga mabao mengi ikiwa imetupia mabao 26 baada ya kucheza mechi 9. Gamondi amesema kuwa wachezaji wote wana kazi ya kutafuta matokeo uwanjani, hivyo ni…

Read More

MKWANJA MREFU ATAKUJA TEN HAG

INAELEZWA kuwa ikiwa Klabu ya Manchester United itaamua kuvunja mkataba na kocha Erik Ten Hag italazimika kumlipa zaidi ya pauni milioni 15. Ten Hag ambaye huu ni msimu wake wa pili ndani ya kikosi hicho anaonekana kuwa na wakati mgumu kutokana na matokeo yanayopatikana kutoridhisha. Kuna vuguvugu la Ten Hag kuvunjiwa mkataba wake kikosini hapo…

Read More

HILI JAMBO KUBWA KUTOKA KWA PROFESSOR JAY

MKONGWE kwenye muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule maarufu kama Professor Jay anatarajiwa kuzindua jambo kubwa kwa ajili ya jamii hivi karibuni. Taarifa imeeleza kuwa ni uzinduzi wa Taasisi ya Professor Jay Foundation, unaotarajiwa kufanyika Novemba 24, 2023, Mlimani City jijini Dar es Salaam. Taasisi hiyo imeanzishwa kwa lengo la kuwasaidia wagonjwa wa figo nchini,…

Read More

TUSUA MTONYO NA BETI ZA BURE ZA AVIATOR

Hii ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwa wasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwaka huku ukipata maokoto ni kuwa rubani wa maisha yako kupitia ndege ya Aviator kutoka Meridianbet. Kuanzia Novemba 1 hadi Novemba 30, 2023 kutakuwa na Promosheni maalum kwa wachezaji wa Aviator kutoka Meridianbet kasino mtandaoni. Watu 10…

Read More

MUUNGANIKO WA KAZI YANGA WAPEWA ZIGO JINGINE

MCHORA ramani za ushindi ndani ya kikosi cha Yanga, Miguel Gamondi amewapa majukumu mengine mastaa wake wakiongozwa na muunganiko wake matata wa PAM unaowajumuisha Pacome Zouzoah, Aziz KI na Maxi Nzengeli kuendeleza kasi yao. Ikumbukwe kwamba PAM imehusika kwenye mabao ya kufunga 18 ambapo Pacome ana mabao manne huku Aziz KI na Maxi hawa wakiwa…

Read More