MKWANJA MREFU ATAKUJA TEN HAG

INAELEZWA kuwa ikiwa Klabu ya Manchester United itaamua kuvunja mkataba na kocha Erik Ten Hag italazimika kumlipa zaidi ya pauni milioni 15. Ten Hag ambaye huu ni msimu wake wa pili ndani ya kikosi hicho anaonekana kuwa na wakati mgumu kutokana na matokeo yanayopatikana kutoridhisha. Kuna vuguvugu la Ten Hag kuvunjiwa mkataba wake kikosini hapo…

Read More

HILI JAMBO KUBWA KUTOKA KWA PROFESSOR JAY

MKONGWE kwenye muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule maarufu kama Professor Jay anatarajiwa kuzindua jambo kubwa kwa ajili ya jamii hivi karibuni. Taarifa imeeleza kuwa ni uzinduzi wa Taasisi ya Professor Jay Foundation, unaotarajiwa kufanyika Novemba 24, 2023, Mlimani City jijini Dar es Salaam. Taasisi hiyo imeanzishwa kwa lengo la kuwasaidia wagonjwa wa figo nchini,…

Read More

TUSUA MTONYO NA BETI ZA BURE ZA AVIATOR

Hii ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwa wasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwaka huku ukipata maokoto ni kuwa rubani wa maisha yako kupitia ndege ya Aviator kutoka Meridianbet. Kuanzia Novemba 1 hadi Novemba 30, 2023 kutakuwa na Promosheni maalum kwa wachezaji wa Aviator kutoka Meridianbet kasino mtandaoni. Watu 10…

Read More