UWANJA WA MKAPA: SIMBA 1-5 YANGA

Kipindi cha pili Yanga walionyesha wanahitaji ushindi na kufunga mabao kupitia kwa Maxi Nzengeli ambaye alifunga mawili dakika ya 64, 77, Aziz KI dakika ya 73, Pacome bao la tano dakika ya 87 kwa mkwaju wa penalti. Kariakoo Dabi Uwanja wa Mkapa upinzani ni mkubwa kwa timu zote mbili kusaka ushindi kwenye mchezo huo. Dakika…

Read More

JESHI LA SIMBA DHIDI YA YANGA HILI HAPA

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba ameanza na jeshi hili dhidi ya watani zao wa jadi Yanga. Novemba 5 2023 itakuwa ni rekodi kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu baada ya dakika 90 kukamilika. Hiki hapa kikosi cha Simba kipo namna hii:- Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein, Henock Inonga, Che Malone, Fabrice Ngoma,…

Read More

JESHI LA YANGA DHIDI YA SIMBA LIPO HIVI

KARIAKOO Dabi presha yake ipo juu kwa sasa huku kila timu ikiwa na hesabu za kukomba pointi tatu. Miguel Gamond, Kocha Mkuu wa Yanga jeshi lake ambalo amelipa kuanza dhidi ya watani zao wa jadi Simba lipo namna hii:- Djigui Diarra Yao Attouhula Joyce Lomalisa Bacca Khalid Aucho Maxi Nzengeli Mudhathir Yahya Kennedy Musonda Aziz…

Read More

JUMAPILI HII MIKWANJA UPO KAMA KAWA KWA MECHI ZA ULAYA

Najua unajua lakini nakujuza tena  sehemu pekee ambayo unaweza kuchukua maokoto yako kirahisi ni Meridianbet ambapo wameweka ODDS KUBWA katika michezo ambayo itapigwa jumapili ili kukuwezesha kupiga mkwanja wa kutosha. Unachotakiwa kufanya ni kutembelea tovuti ya Meridianbet na kuchagua timu zako Jumapili ya leo na kuweka dau lako ambalo linaanzia shilingi 100 na zaidi ili uweze kujipigia…

Read More