TANZANIA PRISONS YAZITAKA POINTI ZA MNYAMA

TANZANIA Prisons, (Wajelajela) leo Oktoba 5 wanatarajia kuwapigisha kwata Simba Kwa kuwachezea pira gwaride mguu pandeeeee. Chini ya Kocha Mkuu, Felix Minziro Prisons ameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu muhimu. Mchezo huo ni wa mzunguko wa nne ambapo Simba itakuwa ugenini ukiwa ni mchezo wake wa pili. Mchezo wa kwanza Simba kuwa ugenini ilikuwa dhidi…

Read More

MITAMBO YA MABAO SIMBA YAREJEA

MITAMBO ya mabao ndani ya kikosi cha Simba imerejea kikosini baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na kutokuwa fiti tayari kuwakabili Tanzania Prisons, kesho Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Ni Jean Baleke mshambuliaji namba moja ndani ya Simba akiwa na mabao matano pamoja na Luis Miquissone kiungo mwenye pasi moja aliyotoa kwenye mchezo dhidi ya…

Read More

MPIRA SIO VITA, AFYA NA UMAKINI NI MUHIMU

MWENDO wa Ligi Kuu Bara unazidi kupasua anga taratibu. Tunaona namna ambavyo kazi kubwa ipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu hili ni jambo la msingi. Pongezi kwa wachezaji namna ambavyo wanajituma kutimiza majukumu yao. Kila mmoja anapenda kuona namna ilivyo mwisho wa mchezo muhimu kuwa makini kwenye kutafuta ushindi. Mzunguko wa tatu umekwenda na…

Read More

BAADA YA KUPOTEZA, YANGA WAJA NA TAMKO HILI

UONGOZI wa Yanga umesema ligi bado ndefu hivyo bado nafasi ipo kufanya vizuri mechi zinazofuata. Oktoba 4,2023 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 kwenye mchezo wa ligi ambao Yanga ilicheza ugenini dhidi ya Ihefu ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema:…

Read More

SIMBA:TULIENI TUTACHEZA MPIRA MZURI

KUTOKANA na kikosi cha Simba kucheza mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika mpira papatupapatu, Kocha Mkuu wa Simba Robert Oliveira ameweka wazi kuwa watafanya vizuri. Kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya Power Dynamos ubao ulisoma Power Dynamos 2-2 Simba na mabao ya Simba ni Clatous Chama alifunga. Ule wa pili ubao ulisoma Simba 1-1…

Read More

BANGALA MAJANGA AZAM FC

NI Yannick Bangala kiungo wa Yanga hatakuwa kwenye mchezo ujao wa timu hiyo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Bangala amechanika msuli wa nyuma ya paja, kwenye mchezo wa jana Jumanne dhidi ya Dodoma Jiji. Baada ya mechi hiyo, Bangala alirudi Dar Es Salaam kwa vipimo zaidi, wakati timu ikielekea Tanga…

Read More

LIGI KUU BARA: IHEFU 1-1 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Highland Estate katika dakika 45 za mwanzo umekuwa ni sawa kwa timu zote mbil. Ni Ihefu 1-1 Yanga wababe hawa wakiwa kwenye msako wa pointi tatu. Lenny Kisu amefunga bao la kwanza dhidi ya Yanga dakika ya 40 kwa msimu wa 2023/24 kwa kuwa ilikuwa bado haijafungwa. Ni Pacome Zouzoua kapachika…

Read More

UBORA WA AZAM FC ULIFICHWA NAMNA HII DODOMA

KOCHA msaidizi wa Dodoma Jiji, Kassim Lyogope amesema kuwa ubora wa Azam FC upo kwenye viungo na hapo walipambana kuwabana wasipige pasi ndefu Kwa washambuliaji. Ni Idris Mbombo alikuwa miongoni mwa washambuliaji waliopata nafasi ya kuonyesha makeke yake Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Dodoma Jiji 0-0 Azam FC hivyo wakagawana pointi…

Read More

TATIZO LA SIMBA LIPO HAPA, KOCHA AFUNGUKA

WAKIWA katika maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons Oktoba 5, tatizo la ubora wa wachezaji wa Simba limeanza kuwatesa mapema. Wapo baadhi ya wachezaji hawana nafasi kabisa kikosi cha kwanza ikiwa ni pamoja na Chilunda hii ni kutokana na kutokuwa fiti, Henock Inonga, Aubin Kramo na Aishi Manula. Luis Miqussone…

Read More

MPANGO WA RATIBA UHESHIMIWE, MALALAMIKO INATOSHA

MPANGILIO wa ratiba ambayo inapangwa na Bodi ya Ligi Tanzania umekuwa ukienda kwa kasi kutokana na mashindano ambayo yapo. Tunaona mzunguko wa tatu umekwenda kwa umakini na kilatimu kukamilisha majukumu yake. Ni mzunguko wa nne sasa huku kila timu ikipambana na hali yake. Jambo la msingi kwa wachezaji na benchi la ufundi kuwa tayari kwa…

Read More

HAWAAMINI MACHO YAO SIMBA KIMATAIFA

HAWAAMINI macho yao Power Dynamos wapinzani wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kushuhudia wakipokwa tonge mdomoni la kutinga hatua ya makundi. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Power Dynamos walianza kuwatungua Simba ndani ya dakika 20 za mwanzo kipindi cha pili mambo yalibadilika na kuruhusu nyavu zao kutikishwa. Dakika 90 zilikamilika…

Read More

KUVUNJIKA KWA KOLEO SI MWISHO WA UHUNZI

KWENYE anga la kimataifa tumeona namna ambavyo wawakilishi wa Tanzania walikuwa wakipambana kutafuta matokeo. Mwisho dakika 90 zimeamua nani atakuwa nani. Kwa Yanga walikuwa na faida ya ushindi wa mabao mawili waliyopata ugenini dhidi ya Al Merrikh na Simba wao sare ya mabao 2-2 waliyopata ugenini. Ni wazi kuwa wachezaji wa Yanga walijituma mechi zote…

Read More