SIMBA WAWAPIGIA HESABU AL AHLY

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Al Ahly maandalizi yapo sawa na hesabu kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo huo. Ahmed Ally, Meneja Habari wa Idara ya Mawasiliano Simba amesema mchezo huo utachezwa Uwanja wa Mkapa na kutakuwa na burudani kubwa kwa mashabiki watakaojitokeza. “Mechi itachezwa saa 12:00…

Read More

KUBEBA MATOKEO MFUKONI KUTAWAPOTEZA KIMATAIFA

KILA timu imeshatambua mpinzani wake kwenye  Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupangwa. Kila timu imetambua ni wapinzani wa aina gani ambao itakabiliana nao kwenye mechi za kimataifa. Kufika kwenye hatua hiyo ni muhimu kuwapa pongezi wahusika kwa kuwa walipambana kufikia malengo. Yanga na Simba kazi kubwa walifanya katika kupata matokeo. Kwa yaliyotokea mpaka kuwa…

Read More

MAOKOTO DEILEE YA SPORTPESA MSHINDI KUTOKA ARUSHA AKOMBA MILIONI 15

 KAMPUNI namba moja ya michezo ya kubashiri SportPesa kwa ushirikiana na mtandao wa Tigo kupitia huduma ya TigoPesa  Oktoba 10 waliwazawadia washindi wanne zawadi. Katika washindi hao washindi wawili wamejishindia simu janja huku mmoja akikomba shilingi   1,000,000 na Diatus Ishengoma amefanikiwa kuwa mshindi wa shilingi 15,000,000 wa kampeni ‘Maokoto Deilee’. Mshindi wa milioni 15 za…

Read More

JIONI KABISA MTU ALIPOTEZA AKIWA NYUMBANI

REKODI iliyoandikwa zama zile ikiwa inaitwa Singida Big Stars kwa Simba kukwama kokomba pointi tatu ilivunjwa Oktoba 8 baada ya ubao kusoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba. Jioni kabisa mbabe alipatikana kutokana na bao lililofungwa ikiwa ni dakika 8 zilibaki kugota mwisho kwenye mchezo huo. Ikumbukwe kwamba ilipokuwa ikiitwa Singida Big Stars ubao ulisoma Singida…

Read More

KOCHA YANGA AWAPA ANGALIZO MASTAA WAKE CAF

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa baada ya kutinga hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wana kazi kubwa ya kufanya. Tayari Yanga wameshatambua kundi ambalo watakuwa kupambania pointi likiwa ni pamoja na Al Ahly ya Misri kwenye kundi hilo.  Yanga ilikuvunja rekodi ya kufuzu hatua hiyo baada ya miaka 25…

Read More

UKUTA WA SIMBA UNATESEKA KINOMANOMA

WEKA kando suala la kuongoza kwenye Ligi Kuu Bara kwa Simba, rekodi zinaonyesha kuwa ukuta wao unateseka kwenye mechi za ugenini kutokana na kutunguliwa kila wanaposhuka uwanjani. Katika mechi tano ambazo ni dakika 450 Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mechi tatu ilicheza ugenini huku mbili ikicheza ikiwa nyumbani. Ukuta wa Simba chini…

Read More

PANAPOVUJA PAMEONEKANA NI MUDA WA KUJIPANGA UPYA

BAADA ya mechi tano za Ligi Kuu Bara kuchezwa tayari pale ambapo panavuja pameshatambulika. Makosa ya timu kwenye dakika 90 yalionekana na benchi la ufundi liliona hivyo ni muda wa kufanyia kazi. Wapo ambao lawama wanazikimbiza kwa waamuzi, hili nalo linapaswa kufanyiwa kazi. Wachezaji nafasi zile za dhahabu wanazozipata ni muhimu kuzitumia. Kawaida kila baada…

Read More