SIMBA YAKOMBA POINTI TATU ZA WAJELAJELA

SAIDO Ntibanzokiza, kiungo mshambuliaji wa Simba amefungua akaunti ya mabao kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine umesoma Tanzania Prisons 1-3 Simba. Ni Edwin Balua kwa Prisons alianza kufunga dakika ya 16, Clatous Chama dakika ya 34 alipachika bao la kwanza kisha John…

Read More

Ligi ya Europa Imekuja Kivingine Wakati Huu

Baada ya kurupushani za juzi na jana kwenye ligi ya Mabingwa kumalizika, sasa ni zamu ya Europa kukupatia mkwanja wa maana ukibashiri na Meridianbet pekee Tanzania. Hapa unapata kila ambacho unakitaka  ikiwemo ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na mengine mengi. Liverpool ya Klopp baada ya kupata ushindi mchezo uliopita, watamenyana dhidi ya Union Saint-Gilloise…

Read More

AZAM FC KWENYE KIGINGI KINGINE TENA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC ni bandika bandua ugenini kwenye msako wa pointi sita muhimu katika mechi za Ligi Kuu Bara. Kete ya kwanza ugenini kwa Azam FC ilikuwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na kete ya pili ni Tanga dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani. Mchezo wa kwanza walitoshana nguvu kwa kugawana…

Read More

SOKOINE MBEYA: PRISONS 1-3 SIMBA

UBAO wa Uwanja wa Sokoine, Mbeya umesoma Tanzania Prisons 1-2 Simba. Edwin Balua alianza kumtungua Ally Salim dakika ya 16 kwa pigo la faulo kisha Clatous Chama aliweka usawa dakika ya 34. John Bocco amepachika bao dakika ya 45 akiwa ndani ya 18. Katika mwendo wa kawaida mastaa wa Tanzania Prisons walionekana wamenyoosha mikono kuonyesha…

Read More

TANZANIA PRISONS YAZITAKA POINTI ZA MNYAMA

TANZANIA Prisons, (Wajelajela) leo Oktoba 5 wanatarajia kuwapigisha kwata Simba Kwa kuwachezea pira gwaride mguu pandeeeee. Chini ya Kocha Mkuu, Felix Minziro Prisons ameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu muhimu. Mchezo huo ni wa mzunguko wa nne ambapo Simba itakuwa ugenini ukiwa ni mchezo wake wa pili. Mchezo wa kwanza Simba kuwa ugenini ilikuwa dhidi…

Read More

MITAMBO YA MABAO SIMBA YAREJEA

MITAMBO ya mabao ndani ya kikosi cha Simba imerejea kikosini baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na kutokuwa fiti tayari kuwakabili Tanzania Prisons, kesho Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Ni Jean Baleke mshambuliaji namba moja ndani ya Simba akiwa na mabao matano pamoja na Luis Miquissone kiungo mwenye pasi moja aliyotoa kwenye mchezo dhidi ya…

Read More

MPIRA SIO VITA, AFYA NA UMAKINI NI MUHIMU

MWENDO wa Ligi Kuu Bara unazidi kupasua anga taratibu. Tunaona namna ambavyo kazi kubwa ipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu hili ni jambo la msingi. Pongezi kwa wachezaji namna ambavyo wanajituma kutimiza majukumu yao. Kila mmoja anapenda kuona namna ilivyo mwisho wa mchezo muhimu kuwa makini kwenye kutafuta ushindi. Mzunguko wa tatu umekwenda na…

Read More

BAADA YA KUPOTEZA, YANGA WAJA NA TAMKO HILI

UONGOZI wa Yanga umesema ligi bado ndefu hivyo bado nafasi ipo kufanya vizuri mechi zinazofuata. Oktoba 4,2023 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 kwenye mchezo wa ligi ambao Yanga ilicheza ugenini dhidi ya Ihefu ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema:…

Read More

SIMBA:TULIENI TUTACHEZA MPIRA MZURI

KUTOKANA na kikosi cha Simba kucheza mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika mpira papatupapatu, Kocha Mkuu wa Simba Robert Oliveira ameweka wazi kuwa watafanya vizuri. Kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya Power Dynamos ubao ulisoma Power Dynamos 2-2 Simba na mabao ya Simba ni Clatous Chama alifunga. Ule wa pili ubao ulisoma Simba 1-1…

Read More