>

KIMATAIFA KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

TUMEONA namna ambavyo wawakilishi wetu kwenye anga la kimataifa wakiendelea kupambania kombe kufikia malengo ambayo yapo na kila mmoja akiwa anahitaji kuona ushindi unapatikana. Kila timu inaona namna ambavyo kazi inafanyika kutokana na msako wa ushindi kwenye mchezo husika. Ipo hivyo mashindano ya kimataifa hayana mwenyewe ila atakayefanya maandalizi mazuri ni njia nyepesi kupata matokeo….

Read More

AFYA YA WACHEZAJI NI MUHIMU, WACHEZAJI LINDANENI

KAZI kubwa kwenye Ligi Kuu Bara imezidi kuonekana ambapo wachezaji wameonekana wakifanya kweli kwenye kutimiza majukumu yao. Hili ni muhimu kuendelea kwenye kila mchezo jambo ambalo litaongeza umakini kwenye msako wa pointi tatu. Tunaona namna ambavyo kila timu inapambana kutimiza majukumu yake. Kwa wachezaji jukumu lenu ambalo mmepewa ni kutafuta ushindi na suala la kuumizana…

Read More

CLEMENT MZIZE ANA BALAA HUYO

NYOTA wa Yanga, Clement Mzize ni habari nyingine Bongo kwa upande wa mastaa wanaocheza ndani ya Yanga na Simba kwa kuwa mzawa aliyepachika bao kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, vigogo wote walipokuwa kazini. Ikumbukwe kwamba Septemba 16, Yanga ilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Al Merrikh, Rwanda na Simba…

Read More