COASTAL UNION INAJITAFUTA KIMATAIFA

UONGOZI wa Coastal Union umesema  utahakikisha kuwa unafanya vizuri kwenye ligi kuu msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Mpaka  sasa kwenye ligi Coastal Union ipo nafasi ya 10 ina pointi moja baada ya kucheza michezo miwili baada ya kupoteza  mchezo mmoja na kutoa sare mchezo mmoja. Timu hiyo iliwahi…

Read More