KOCHA ALIYEPELEKA MAUMIVU MSIMBAZI SAFARI IMEMKUTA

KALI Ongala aliyekuwa kocha msaidizi wa Azam FC hatakuwa kàtika benchi hilo kwa msimu wa 2023/24. Kocha huyo amepeleka maumivu kwa Simba mara mbili kwenye mashindano tofauti ligi na shirikisho. Ongala mchezo wake wa mwisho kukaa benchi ilikuwa Juni 12 aliposhuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani ukisoma Azam FC 0-1 Yanga. NI fainali ya Azam…

Read More

KOCHA YANGA KUIBUKIA SIMBA

BAADA ya mabosi wa Simba kuachana na Chlouha Zakaria aliyekuwa kocha wa makipa jina la kocha wa Yanga, Milton Nienov linatajwa mitaa ya Msimbazi. Juni 15 Simba imebainisha kuachana na kocha huyo ambaye alikuwa anawanoa Aishi Manula kipa namba moja wa Simba, Beno Kakolanya kipa namba mbili pamoja na Ally Salim ambaye ni kipa namba…

Read More

BEKI AVUNJA MKATABA SIMBA

BEKI mwili nyumba wa Simba, Mohammed Ouattara, ameona isiwe shida na kufikia makubaliano mazuri na klabu hiyo, ya kuvunja mkataba ili aondoke hapo Msimbazi. Outtara ni kati ya wachezaji waliosajiliwa na Simba katika usajili mkubwa msimu huu akitokea Al Hilal ya nchini Sudan akisaini mkataba wa miaka miwili. Beki huyo alisajiliwa na Simba kwa ajili…

Read More

WAPEWA MKONO WA ASANTE AZAM FC

KIUNGO wa Azam FC Keneth Muguna ni miongoni mwa nyota ambao hawatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Raia huyo wa Kenya hajawa na msimu bora ndani ya 2022/23 kutokana na kushindwa kuonyesha makeke yake. Ni shuhuda wa timu hiyo ikipoteza mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation kwa ubao wa Uwanja wa…

Read More

NABI KUIBUKIA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kufikia makubaliano ya kutoongeza mkataba ñdani ya Yanga, Nasreddine Nabi anatajwa kuwa katika hesabu za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Dili la Nabi lilikuwa linagota ukingoni mwishoni mwa msimu huu wa 2022/23. Nabi amekiongoza kikosi cha Yanga msimu wa 2022/23 kwa mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kutwaa taji la Ligi Kuu Bara,…

Read More

NYOTA NTIBANZOKIZA ASEPA NA TUZO KIBAO

NYOTA wa Simba Saido Ntibanzokiza amefunga msimu wa 2022/23 kabati lake likiwa limejaza tuzo sita ikiwa ni rekodi bora kwake mbele ya mastaa wa Namungo, Yanga na Singida Big Stars. Ni Tuzo ya mchezaji bora kwa Mei akiwashinda Prince Dube wa Azam FC na Charlse Ilanfya wa Mtibwa Sugar ambapo ndani ya Mei nyota huyo…

Read More