HIKI NDICHO WANACHOKITAKA SIMBA
NAHODHA wa Simba John Bocco, amesema kuwa kwa sasa wanatafuta heshima pekee ya kukamilisha ligi na ushindi kwenye mechi zote mbili zilizobakia ili kurejesha furaha kwa mashabiki wao. Tayari mabingwa wa ligi ni Yanga wanaonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia wakiwa na pointi 74. Ijumaa iliyopita Simba iliishusha rasmi Ruvu Shooting kwa…