HAPA NDIPO ANGUKO LA SIMBA LILIPOANZIA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa makosa makubwa ambayo yamefanya anguko kwenye timu hiyo hajaanza leo bali miaka miwili nyuma. Msimu huu Simba imepoteza matumaini ya kutwaa taji la ligi linalotetewa na Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 71. Leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Ruvu Shooting mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

RUVU SHOOTING YAMUOMBA MUNGU KWENYE MAPITO YAO

UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa kwenye mapito magumu wanayopitia njia itaonekana. Timu hiyo leo inatarajiwa kucheza mchezo wa ligi dhidi ya Simba Uwanja wa Azam Complex kusaka pointi tatu. Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 71 kibindoni baada ya kucheza mechi 27 msimu wa 2022/23.  Ofisa Habari wa Ruvu Shooting,…

Read More

LIGI KUU BARA KINAWAKA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Mei 12 ikiwa ni mzunguko wa pili. KMC chini ya Jamhuri Kihwelo ‘Julio” itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Singida Big Stars. Ni Uwanja wa Uhuru ngoma inatarajiwa kupigwa ambapo KMC itawakaribisha Singida Big Stars saa 10:00 jioni. KMC inapambana kubaki ndani ya ligi ikiwa imecheza…

Read More