HAYA NJOONI MJIFUNZE KWETU, SIMBA WAACHA GUMZO MOROCCO
HAYA njooni mjifunze kwetu, Simba waacha gumzo Morocco ndani ya Championi Jumamosi
HAYA njooni mjifunze kwetu, Simba waacha gumzo Morocco ndani ya Championi Jumamosi
NGOMA imegota mwisho kwa wawakilishi wa Tanzania Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuondolewa na mabingwa watetezi wa taji hilo Wydad. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mohamed V umesoma Wydad Casablanca 1-0 Simba na kufanya matokeo ya jumla kuwa Wydad 1-1 Simba, Ikumbukwe kwamba Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 Uwanja…
UBAO wa Uwanja wa Mohamed V unasoma Wydad 1-0 Simba. Safu ya ulinzi ya Simba imekwama kuwazuia Wydad Casablanca kwa kusababisha kosa la kona ambalo limeigharimu timu hiyo. Junior Boll kaonyesha ukomavu wake mbele ya ukuta wa Simba na kupachika bao la kuongoza dakika ya 23. Huu ni mchezo wa maamuzi utakaotoa picha nani atasonga…
KIKOSI cha Simba dhidi ya Wydad Casablanca mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua kipo namna hii:- Ally Salim ameanza langoni, Shomari Kapombe, Henock Inonga, Joash Onyango, Mohamed Hussein amevaa kitambaa cha unahodha. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute katika eneo la kiungo mkabaji. Kibu Dennis,Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama upande wa viungo washambuliaji na Jean…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari za Michezo kitaifa na Kimataifa Saleh Jembe amezungumzia kuhusu uwezo wa beki wa Yanga, Bakari Mwamnyeto pamoja na juhudi anazoonyesha ndani ya uwanja akipata nafasi
MAMA Samia kaongeza thamani kwenye mkwanja wa dau la ‘Goli la Mama’.
Ligi nyingi zinaelekea ukingoni huku timu zote zikipambana kutopoteza michezo yao iliyosalia, Meridianbet inakufanya ufurahie wikiendi yako kwa odds kubwa pamoja na kasino ya mtandaoni yenye sloti rahisi za ushindi. Mechi za Jumamosi Meridianbet odds kubwa kila mechi, Laliga kitachafuka miamba ya soka la Hispania FC Barcelona na Real Madrid watashuka dimbani kwa pamoja kusaka…
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa timu hiyo inacheza mchezo wa kisasa jambo linalowapa matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza kitaifa na kimataifa. Simba imecheza jumla ya mechi 19 mfululizo za ligi bila kupoteza na timu ya mwisho kuifunga ilikuwa ni Azam FC mtupiaji akiwa ni Prince Dube Uwanja wa Mkapa. Kwenye mechi nne…
KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema mchezo wao wa hatua ya nusu fainali dhidi ya Simba ni muhimu kupata ushindi ili wasonge mbele hatua inayofuata. Ni nusu fainali ya Kombe la Azam Sports Federation mchezo unaotarajiwa kuchezwa Mei 6,2023 Uwanja wa Nangwanda,Mtwara.Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine…
NYAMBAYA atoboa siri Simba, Yanga kucheza fainali pamoja na mkwanja wa Mama namna ambavyo zinaongeza hamasa kwa timu kusaka ushindi
MZAWA Ayoub Lyanga anayekipiga ndani ya kikosi cha Azam FC ni mtambo wa mabao kutokana na kuhusika kwenye mabao mengi zaidi. Lyanga ameanza kikosi cha kwanza kwenye mechi 15 akifunga mabao manne na ametoa pasi 7 za mabao moja kati ya hizo alitoa kwenye mchezo dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa. Nyota huyo kahusika kwenye…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema hawatarudia makosa ambayo walifanya 2021 walipokutana na Rivers United kwenye mashindani ya kimataifa. Septemba 12 2021 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ubao ulisoma Yanga 0-1 Rivers United na ule wa pili ubao ulisoma Rivers United 1-0 Yanga ilikuwa ni Septemba 19. Kocha huyo ameiongoza Yanga kwenye…
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amesema kuwa anafurahishwa na ushirikiano uliopo kwenye safu ya ulinzi kwenye mechi ambazo wanacheza kitaifa na kimataifa. Simba imetoka kupata ushindi dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa na ilipata ushindi mchezo wake uliofuata dhidi ya Wydad Casablanca ambao ni wa Ligi ya…
MO aingilia kati shoo ya Waarabu, Mayele awakatisha tamaa Wanigeria ñdani ya Championi Ijumaa
UIMARA wa kipa namba moja wa Yanga, Djigui Diarra nyuma yupo mtaalamu wa mbinu anaitwa Milton Nienov. Sio mdaka mishale tu hata Metacha Mnata pia ambaye ni kipa namba mbili kwa sasa ananolewa na kocha huyu. Erick Johora na Aboutwalib Mshery ambaye bado hajwa imara akirejea atakuwa mikononi mwa kocha huyu. Katika upande wa ulinzi…
MZEE Muchachu ambaye ni shabiki wa Simba ameweka wazi kuwa ikiwa Yanga watatwaa taji la Kome la Shirikisho Afrika atakwenda kuwapokea na kufurahi pamoja nao huku akiamini kwamba Yanga itacheza fainali
MKONGWE kwenye masuala ya uandishi wa Habari za Michezo kitaifa na kimataifa ndani ya Bongo, Jembe amezungumzia mlima waliona Simba kwenye anga la kimataifa dhidi ya Wydad Casablanca. Ni timu mbili ambazo zipo kwenye hatua ya robo fainali kwa Tanzania ambapo Yanga ipo kwenye Kombe la Shirikisho Afrika huku Simba ikiwa Ligi ya Mabingwa Afrika.