Home International LIVERPOOL YASHINDA USIKU KWELI

LIVERPOOL YASHINDA USIKU KWELI

JURGEN Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool ameshuhudia vijana wake wakivuja jasho dakika 90 mbele ya Spurs.

Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Anfield umesoma Liverpool 4-3 Spurs.

Liverpool walianza kupachika bao dakika ya 3 kupitia kwa Curtin Jones kisha dakika ya 5 Luis Diaz alipiga msumari wa pili na Mohamed Salah dakika ya 15 Kwa mkwaju wa penalti.

Dakika ya 39 Hary Kane alipachika bao la Kwanza, Son Heung-min dakika ya 77 na Richarlison dakika ya 90+3.

Bao la ushindi ni mali ya Diogo Jota dakika ya 90+4

Previous articleYANGA 0-0 RIVERS UNITED, (YANGA 2-0 RIVERS)
Next articleYANGA HAO NUSU FAINALI KIMATAIFA CAF