HUYU HAPA MWAMUZI MECHI YA SIMBA V YANGA

JONESIA Rukya ametangazwa kuwa mwamuzi wa kati mchezo wa Ligi Kuu Bara Kati ya Simba v Yanga unaotarajiwa kuchezwa kesho Aprili 16, Uwanja wa Mkapa. Huo ni mchezo wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa Kwa timu zote mbili kusaka ushindi. Jonesia kutoka Kagera atashirikiana na Mohamed Mkono ambaye atakuwa line 1, Janeth…

Read More

PAMPA WAZITAKA POINTI ZA MASHUJAA

KOCHA Mkuu wa Pamba, Yusuph Chippo amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Championship dhidi ya Mashujaa FC  unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Nyamagana. Pamba ya Mwanza ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo ikiwa na pointi 48 baada ya kucheza mechi 23 inakutana na Mashujaa iliyo nafasi ya 4 na pointi 41. Tippo amesema:“Tunamshukuru…

Read More

SIMBA WAIFUNGIA KAZI YANGA, WAWEKA MKWANJA WA MAANA

Mabosi wa Simba wameamua kuifungia kazi Yanga inayonolewa na Kocha, Nasreddine Nabi kwani wamesema hawataki chochote zaidi ya ushindi katika Kariakoo Dabi. Kutokana na jambo hilo tayari wameandaa bonasi ya kutosha ya zaidi ya Sh 300 Mil kwa wachezaji ili kufanikisha ushindi Jumapili. Katika mchezo huo, Simba wataingia wakiwa na hasira ya kufungwa mara mbili…

Read More

BEKI HUYU YANGA KUIKOSA DABI KWA MKAPA

BEKI wa Yanga, Mamadou Doumbia raia wa Mali hatakuwa sehemu ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa kesho. Sababu kubwa za beki hilo ambalo lilichomolewa kwenye mashindano ya ndani maarufu kama Chan akiwa na timu ya taifa ya Mali ni kutangulia mbele za haki kwa baba yake mzazi. Taarifa rasmi iliyotolewa…

Read More