>

CHAMA KAMA CHAMA ANAKIMBIZA CAF

CLATOUS Chama mwamba wa Lusaka kwenye mashindano ya kimataifa anafanya vizuri ikiwa ni nembo kwa wazawa kushtuka na kuiga namna anavyofanikiwa. Anaingia kwenye orodha ya wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa CAF mchezo wa tano akiwa na mshikaji wake Sadio Kanoute hawa wote wapo ndani ya Simba na ikumbwe kuwa kwenye mechi ya nne alisepa…

Read More

BARCELONA WANAKIMBIZA LA LIGA

BARCELONA inaongoza La Liga ikiwa imekusanya pointi 68 baada ya kucheza mechi 26. Wanaofuata ni Real Madrid hawa nafasi ya pili na pointi zao kibindoni ni 56 wamecheza mechi 26. Mchezo wao walipokutana Uwanja wa Camp Nou Jumapili ya Machi 19, ubao ulisoma Barcelona 2-1 Real Madrid. Ni Sergi Roberto dakika ya 45 na Franck…

Read More

DABI YA WANAWAKE KARIAKOO NI MOTO

BAADA ya Desemba 22,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba Queens 1-1 Yanga Princes kesho kazi inatarajiwa kuwa nzito. Machi 22 kwa mara nyingine tena mchezo wa Dabi ya Kariakoo unatarajiwa kufanyika kwenye Uwanja wa Uhuru. Unakuwa ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa watani hao kukutana ndani ya Ligi ya Wanawake Tanzania. Yanga…

Read More

NABI AFICHUA MAZITO KIPIGO CHA WAARABU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amefunguka kuwa, sababu kubwa iliyopelekea kufanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Waarabu, US Monastir, ni kutokana na kupata muda wa kutosha kuwasoma wapinzani wake hao. Nabi ametoa kauli hiyo kufuatia Yanga kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0…

Read More

CHAMA, SAIDO WAPEWA KAZI MAALUMU SIMBA

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa mitambo yao yote ya kazi katika kikosi hicho akiwemo Clatous Chama na Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ina kazi maalumu ya kufanya kuelekea mchezo wa ugenini dhidi ya Raja Casablanca. Katika Kundi C la Ligi ya Mabingwa Afrika, Raja ni vinara wakiwa na pointi 13, kwenye mechi tano ambazo wamecheza hawajapoteza…

Read More

YANGA YAANZA NYODO CAF

BAADA ya kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shiriko Afrika, uongozi wa Yanga umeibuka na kutamka kuwa levo ambazo wanazo, wao sio wa kuihofia timu yoyote. Kauli hiyo imekuja mara baada ya Yanga kuwafunga mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia katika mchezo wa tano wa Kundi D kunako Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

PATA MPAKA 97.58%YA DAU LAKO NA DEUCES WILD

Sloti ya Deuces Wild Poker Habari njema kwa wapenda kasino, kama uliwahi kucheza michezo hii ya sloti Aviator, Poker, Roulette kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, basi huu mwingine hutataka ukupite kati ya michezo rahisi kabisa kucheza na kupiga mtonyo mrefu na bonasi kibao ni Sloti ya Deuces Wild Poker kwa jina rahisi ni mchezo…

Read More

AZAM FC REKODI ZA NYOTA WAO ZINASOMA HIVI

KUNA vingi vya kujivunia kwenye ardhi ya Tanzania ikiwa ni pamoja na mlima Kilimanjaro kutokana na kuwa na kilele chenye ubora. Kwenye ulimwengu wa soka kuna maskani ya Azam FC yalipo maskani ya timu bora ambayo inapambana kuonyesha ubora kwa vitendo, hapa tupo nao kwenye mwendo wa data kutazama kazi zao namna hii:- Mechi nyingi…

Read More

AZAM FC NA MWENDO WAO ULEULE

MSIMU huu pia haujawa mzuri kwa Azam FC ambayo kila wakati huwa inaanza kwa kuleta ushindani mkubwa. Mateso makubwa ambayo huwa wanapitia kwenye mechi za ugenini bado hawajapata majibu yake hivyo wana kazi ya kuboresha zaidi ili wakati ujao kuwa imara. Miongoni mwa sababu ambazo zimekuwa zikiwapa ugumu Azam FC ni pamoja na kushindwa kutumia…

Read More