HUYU HAPA KOCHA MPYA STARS
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Adel Amrouche kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa, Taifa Stars. Amrouche ni raia wa Ubelgiji mwenye asili ya Algeria, ana uzoefu mkubwa wa soka la Afrika. Amewahi kufundisha ukanda wa Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Kenya pamoja na Ukanda wa Kusini Mashariki, Kati na Kaskazini. Amewahi kuwa…