PRINCE Dube wa Azam FC kwenye msako wa pointi sita dhidi ya Simba katupia mabao mawili, mwendo wa bao mojamoja.
Mzunguko wa kwanza alitupia bao lililoipa pointi tatu na kwenye mchezo wa mzunguko wa pili alitupia bao moja wakapata pointi mojamoja.
Ni pointi nne wamesepa nazo Azam mbele ya Simba ambayo imeambulia pointi moja tu.